Mbiringani, mbilingani au mbilinganya (Solanum melongena) hupandwa sana katika panda za tropiki na nusutropiki au ndani ya nyumba za vioo katika nchi za baridi. Matunda yake, mabiringani, ni meusi-zambarau, pengine kijani au kijani na zambarau.
Mbiringani, mbilingani au mbilinganya (Solanum melongena) hupandwa sana katika panda za tropiki na nusutropiki au ndani ya nyumba za vioo katika nchi za baridi. Matunda yake, mabiringani, ni meusi-zambarau, pengine kijani au kijani na zambarau.