dcsimg

Kubwilu ( 斯瓦希里語 )

由wikipedia emerging languages提供

Kubwilu, kubwiro au naiwa ni ndege wa familia Oriolidae. Wanatokea Afrika, Asia, Australia na Ulaya. Spishi nyingi zina rangi za manjano na nyeusi, lakini nyingine zina rangi za majani, nyekundu au kahawa pamoja na nyeusi. Ndege hawa wana sauti tamu bainifu. Hula matunda, beri na arithropodi. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe kilichofuma na hili limening'inizwa kutoka tawi kama susu. Jike huyataga mayai 2-3, hata hadi 6.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

許可
cc-by-sa-3.0
版權
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
原始內容
參訪來源
合作夥伴網站
wikipedia emerging languages

Kubwilu: Brief Summary ( 斯瓦希里語 )

由wikipedia emerging languages提供

Kubwilu, kubwiro au naiwa ni ndege wa familia Oriolidae. Wanatokea Afrika, Asia, Australia na Ulaya. Spishi nyingi zina rangi za manjano na nyeusi, lakini nyingine zina rangi za majani, nyekundu au kahawa pamoja na nyeusi. Ndege hawa wana sauti tamu bainifu. Hula matunda, beri na arithropodi. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe kilichofuma na hili limening'inizwa kutoka tawi kama susu. Jike huyataga mayai 2-3, hata hadi 6.

許可
cc-by-sa-3.0
版權
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
原始內容
參訪來源
合作夥伴網站
wikipedia emerging languages