dcsimg
Image of American common reed
Creatures » » Plants » » Dicotyledons » » True Grasses »

Common Reed

Phragmites australis (Cav.) Trin. ex Steud.

Mtete ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mtete au gugumua (Phragmites australis) ni aina ya nyasi refu linalomea katika maji kame. Jina hili hutumika pia kwa manyasi marefu yoyote ya maji. Aina za mimea ya maji zinazofanana na mtete huitwa mifunjo (familia Cyperaceae). Jenasi Phragmites inafikiriwa na bingwa wengi ya kuwa na spishi moja tu, lakini spishi nyingi zimefafanuliwa. Spishi moja, P. karka, husadikiwa sana.

Jina matete hutumika pia kwa manyasi haya, lakini inapendelewa kutumia jina hili kwa mazao yao. Matete hutumika duniani kote kwa kuvimba mapaa.

Viungo vya nje

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mtete: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mtete au gugumua (Phragmites australis) ni aina ya nyasi refu linalomea katika maji kame. Jina hili hutumika pia kwa manyasi marefu yoyote ya maji. Aina za mimea ya maji zinazofanana na mtete huitwa mifunjo (familia Cyperaceae). Jenasi Phragmites inafikiriwa na bingwa wengi ya kuwa na spishi moja tu, lakini spishi nyingi zimefafanuliwa. Spishi moja, P. karka, husadikiwa sana.

Jina matete hutumika pia kwa manyasi haya, lakini inapendelewa kutumia jina hili kwa mazao yao. Matete hutumika duniani kote kwa kuvimba mapaa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri