dcsimg

Mamalia ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Mamalia ni wanyama ambao wanawanyonyesha watoto wao maziwa kwa kutumia viwele vyao.

Wana damu moto na kupumua kwa mapafu.

Kuna takriban spishi 5,400 za mamalia. Spishi 5 kati ya hizo wanataga mayai, lakini wengine wote wanazaa watoto hai.

Ukubwa unatofautiana sana, kuanzia spishi ndogo aina ya popo mwenye urefu wa sentimita 4 pekee hadi spishi kubwa nyangumi buluu mwenye urefu wa mita 33.

Uainishaji

Mamalia ni ngeli ya faila Kodata.

Ngeli yao hugawiwa katika nusungeli mbili:

  • Prototheria ni mamalia wanaotaga mayai au kubeba watoto wao ndani ya mfuko wa mwilini kwa muda fulani baada ya kuzaa
  • Theria ni mamalia wa kawaida na spishi nyingi zimo humo.

Picha

Morpho didius Male Dos MHNT.jpg Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mamalia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Mamalia: Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Mamalia ni wanyama ambao wanawanyonyesha watoto wao maziwa kwa kutumia viwele vyao.

Wana damu moto na kupumua kwa mapafu.

Kuna takriban spishi 5,400 za mamalia. Spishi 5 kati ya hizo wanataga mayai, lakini wengine wote wanazaa watoto hai.

Ukubwa unatofautiana sana, kuanzia spishi ndogo aina ya popo mwenye urefu wa sentimita 4 pekee hadi spishi kubwa nyangumi buluu mwenye urefu wa mita 33.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages