dcsimg

Muwati ( 斯瓦希里語 )

由wikipedia emerging languages提供
 src=
"Majani" (vikonyo) ya muwati wa Madagaska

Miwati ni miti ya jenasi Acacia katika familia Fabaceae iliyo na majani yenye sehemu nyingi, lakini vikonyo vya majani vya spishi nyingi vimekuwa vipana na vimebadili majani menyewe. Zamani jenasi hii ilikuwa na spishi takriban 1300 lakini wanasayansi wameigawanya kwenye jenasi tano sasa: Acacia, Vachellia, Senegalia, Acaciella na Mariosousa[1]. Spishi za Acacia zinatofautiana na zile za jenasi Vachellia, Senegalia na Acaciella kwa ukosa wa miiba (ghairi ya muwati kangaruu). Hazina mastipula (majani mawili madogo chini ya jani kuu) kama spishi za Mariosousa. Kwa asili miti hii inatokea Australia lakini imewasilishwa katika mabara mengine.

Spishi ya Afrika (Madagaska na kisiwa cha Reunion)

Spishi zilizowasilishwa katika Afrika

Picha

Marejeo

  1. The Acacia Debate. Science In Public (2011). Iliwekwa mnamo 2011-08-03.
許可
cc-by-sa-3.0
版權
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
原始內容
參訪來源
合作夥伴網站
wikipedia emerging languages

Muwati: Brief Summary ( 斯瓦希里語 )

由wikipedia emerging languages提供
 src= "Majani" (vikonyo) ya muwati wa Madagaska

Miwati ni miti ya jenasi Acacia katika familia Fabaceae iliyo na majani yenye sehemu nyingi, lakini vikonyo vya majani vya spishi nyingi vimekuwa vipana na vimebadili majani menyewe. Zamani jenasi hii ilikuwa na spishi takriban 1300 lakini wanasayansi wameigawanya kwenye jenasi tano sasa: Acacia, Vachellia, Senegalia, Acaciella na Mariosousa. Spishi za Acacia zinatofautiana na zile za jenasi Vachellia, Senegalia na Acaciella kwa ukosa wa miiba (ghairi ya muwati kangaruu). Hazina mastipula (majani mawili madogo chini ya jani kuu) kama spishi za Mariosousa. Kwa asili miti hii inatokea Australia lakini imewasilishwa katika mabara mengine.

許可
cc-by-sa-3.0
版權
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
原始內容
參訪來源
合作夥伴網站
wikipedia emerging languages