Mfonio ni aina ya nafaka yenye punje ndogo sana (fonio) unaopandwa katika sehemu za Afrika ya Magharibi. Kuna spishi mbili: mfonio mweupe na mfonio mweusi. Nafaka hii hupendwa katika maeneo makavu yenye mvua isiyotabirika, kwa sababu inakomaa ndani ya wiki 6-8 na fonio ni rutubishi sana.
Kuna spishi nyingine huko Uhindi iliyo na mnasaba na mfonio ambayo inaitwa raishan (D. cruciata var. esculenta).
Mfonio ni aina ya nafaka yenye punje ndogo sana (fonio) unaopandwa katika sehemu za Afrika ya Magharibi. Kuna spishi mbili: mfonio mweupe na mfonio mweusi. Nafaka hii hupendwa katika maeneo makavu yenye mvua isiyotabirika, kwa sababu inakomaa ndani ya wiki 6-8 na fonio ni rutubishi sana.