dcsimg

Mfonio ( Svahili )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Mfonio ni aina ya nafaka yenye punje ndogo sana (fonio) unaopandwa katika sehemu za Afrika ya Magharibi. Kuna spishi mbili: mfonio mweupe na mfonio mweusi. Nafaka hii hupendwa katika maeneo makavu yenye mvua isiyotabirika, kwa sababu inakomaa ndani ya wiki 6-8 na fonio ni rutubishi sana.

Spishi

Kuna spishi nyingine huko Uhindi iliyo na mnasaba na mfonio ambayo inaitwa raishan (D. cruciata var. esculenta).

lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mfonio: Brief Summary ( Svahili )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Mfonio ni aina ya nafaka yenye punje ndogo sana (fonio) unaopandwa katika sehemu za Afrika ya Magharibi. Kuna spishi mbili: mfonio mweupe na mfonio mweusi. Nafaka hii hupendwa katika maeneo makavu yenye mvua isiyotabirika, kwa sababu inakomaa ndani ya wiki 6-8 na fonio ni rutubishi sana.

lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Waandishi wa Wikipedia na wahariri