dcsimg

Frankolino ( Ido )

fornecido por wikipedia emerging languages

Frankolino esas ucelo de la genero "perdriki", sama statura kam la fazano, di qua la gambi esas longa, la beko forta e longa.

licença
cc-by-sa-3.0
direitos autorais
Wikipedia authors and editors
original
visite a fonte
site do parceiro
wikipedia emerging languages

Kereng'ende (ndege) ( Suaíli )

fornecido por wikipedia emerging languages

Kereng'ende ni ndege kadhaa wa jenasi Francolinus katika familia Phasianidae. Huitwa kwale pia pamoja na spishi nyingine za Francolinus. Rangi yao ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Ngozi ya koo na pande zote za macho ni kichele na ina rangi ya manjano, ya machungwa au nyekundu. Huonekana zaidi kuliko spishi nyingine za kwale. Chakula chao ni mbegu, wadudu na nyungunyungu. Hutaga mayai matatu hadi nane ardhini pengine juu ya manyasi makavu.

Spishi zote zinatokea Afrika.

Spishi

Picha

licença
cc-by-sa-3.0
direitos autorais
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
original
visite a fonte
site do parceiro
wikipedia emerging languages

Kereng'ende (ndege): Brief Summary ( Suaíli )

fornecido por wikipedia emerging languages

Kereng'ende ni ndege kadhaa wa jenasi Francolinus katika familia Phasianidae. Huitwa kwale pia pamoja na spishi nyingine za Francolinus. Rangi yao ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Ngozi ya koo na pande zote za macho ni kichele na ina rangi ya manjano, ya machungwa au nyekundu. Huonekana zaidi kuliko spishi nyingine za kwale. Chakula chao ni mbegu, wadudu na nyungunyungu. Hutaga mayai matatu hadi nane ardhini pengine juu ya manyasi makavu.

Spishi zote zinatokea Afrika.

licença
cc-by-sa-3.0
direitos autorais
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
original
visite a fonte
site do parceiro
wikipedia emerging languages