Nanasi ni aina ya matunda yaliyo na mifano ya miiba pia hutoa maji matamu yanayotumika kutengenezea juisi. Linatokana na mnanasi (Ananas comosus).
Nanasi hutumika kuimarisha uwezo wa ubongo kufikiria.
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.