dcsimg

Mtopetope ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mtopetope ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa matopetope. Spishi hii huitwa mtomoko pia, lakini tafadhali jina hili litengee kwa Annona cherimola. Mti huu una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa donge na rangi ya majani hadi manjano yakiwa yaliyoiva. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mtopetope: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mtopetope ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa matopetope. Spishi hii huitwa mtomoko pia, lakini tafadhali jina hili litengee kwa Annona cherimola. Mti huu una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa donge na rangi ya majani hadi manjano yakiwa yaliyoiva. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri