dcsimg

Mnavunavu ( swahili )

fourni par wikipedia emerging languages

Mnavunavu au mzabibu-bata (Physalis peruviana) ni mmea au kichaka katika familia Solanaceae ambao unapanda mara nyingi juu ya mimea mingine au egemeo lolote. Matunda yake yalikayo huitwa manavunavu. Kaliksi, ambayo imeunda na sepali, izungashia tunda kama kibofu. Kama tunda likiiva, kaliksi inakauka. Tunda bivu lina rangi ya manjano na ladha maalum tamu. Asili ya mnavunavu ni Peru, Kolombia na Ekuador lakini sasa hupandwa Afrika ya Kusini na Mashariki, Australia, Nyuzilandi na visiwa kadhaa vya Pasifiki.

Picha

Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mnavunavu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
licence
cc-by-sa-3.0
droit d’auteur
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mnavunavu: Brief Summary ( swahili )

fourni par wikipedia emerging languages

Mnavunavu au mzabibu-bata (Physalis peruviana) ni mmea au kichaka katika familia Solanaceae ambao unapanda mara nyingi juu ya mimea mingine au egemeo lolote. Matunda yake yalikayo huitwa manavunavu. Kaliksi, ambayo imeunda na sepali, izungashia tunda kama kibofu. Kama tunda likiiva, kaliksi inakauka. Tunda bivu lina rangi ya manjano na ladha maalum tamu. Asili ya mnavunavu ni Peru, Kolombia na Ekuador lakini sasa hupandwa Afrika ya Kusini na Mashariki, Australia, Nyuzilandi na visiwa kadhaa vya Pasifiki.

licence
cc-by-sa-3.0
droit d’auteur
Waandishi wa Wikipedia na wahariri