dcsimg

Kolokolo ( السواحلية )

المقدمة من wikipedia emerging languages

Kolokolo ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia Cisticolidae. Wanafana na videnenda lakini mkia wao ni mrefu zaidi na wana rangi kali zaidi: kahawia, kijivu au kijani mgongoni na nyeupe, njano na/au nyekundu chini na pengine kichwani na mbawani. Spishi nyingi zina mkufu mweusi kidarini. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara katika misitu na mapori. Hula wadudu. Hulijenga tago lenye kuba ya manyasi, majani na/au vigoga katika kichaka. Jike huyataga mayai 3-5.

Spishi

Picha

ترخيص
cc-by-sa-3.0
حقوق النشر
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
النص الأصلي
زيارة المصدر
موقع الشريك
wikipedia emerging languages

Kolokolo: Brief Summary ( السواحلية )

المقدمة من wikipedia emerging languages

Kolokolo ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia Cisticolidae. Wanafana na videnenda lakini mkia wao ni mrefu zaidi na wana rangi kali zaidi: kahawia, kijivu au kijani mgongoni na nyeupe, njano na/au nyekundu chini na pengine kichwani na mbawani. Spishi nyingi zina mkufu mweusi kidarini. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara katika misitu na mapori. Hula wadudu. Hulijenga tago lenye kuba ya manyasi, majani na/au vigoga katika kichaka. Jike huyataga mayai 3-5.

ترخيص
cc-by-sa-3.0
حقوق النشر
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
النص الأصلي
زيارة المصدر
موقع الشريك
wikipedia emerging languages