Nyoka-miti weusi ni spishi za nyoka za jenasi Thrasops katika familia Colubridae. Wanafanana na kukwi-miti lakini rangi yao ni nyeusi badala ya kijani.
Nyoka hawa ni warefu kuliko kukwi: kwa kipeo m 2-2.5 kulingana na spishi na kwa wastani m 1.4-1.8. Magamba ya mgongo ya T. jacksoni na T. schmidti yana miinuko lakini yale ya spishi nyingine ni laini. Magamba ya tumbo ya spishi zote yana miinuko pia inayosaidia nyoka hawa kupanda juu ya miti. Rangi yao ni nyeusi lakini koo ni kijivu, jeupe au njano mara nyingi.
Nyoka-miti weusi huishi mitini ambapo huwinda mijusi, vinyonga na vyura. Mara nyingi hukamata mamalia na ndege wadogo na hula mayai ya ndege pia. Pengine hukamata chura ardhini.
Nyoka hawa hawana sumu na hawang'ati kwa kawaida, lakini wanafanana sana na namna nyeusi ya ngole na kwa hivyo jihadhari. Wakitishwa hujaribu kutoroka na mara nyingi huruka chini, hata katika maji. Shingo yao inafura wakitegwa.
Nyoka-miti weusi ni spishi za nyoka za jenasi Thrasops katika familia Colubridae. Wanafanana na kukwi-miti lakini rangi yao ni nyeusi badala ya kijani.
Nyoka hawa ni warefu kuliko kukwi: kwa kipeo m 2-2.5 kulingana na spishi na kwa wastani m 1.4-1.8. Magamba ya mgongo ya T. jacksoni na T. schmidti yana miinuko lakini yale ya spishi nyingine ni laini. Magamba ya tumbo ya spishi zote yana miinuko pia inayosaidia nyoka hawa kupanda juu ya miti. Rangi yao ni nyeusi lakini koo ni kijivu, jeupe au njano mara nyingi.
Nyoka-miti weusi huishi mitini ambapo huwinda mijusi, vinyonga na vyura. Mara nyingi hukamata mamalia na ndege wadogo na hula mayai ya ndege pia. Pengine hukamata chura ardhini.
Nyoka hawa hawana sumu na hawang'ati kwa kawaida, lakini wanafanana sana na namna nyeusi ya ngole na kwa hivyo jihadhari. Wakitishwa hujaribu kutoroka na mara nyingi huruka chini, hata katika maji. Shingo yao inafura wakitegwa.
Thrasops is a genus of snakes in the family Colubridae. The genus is endemic to Africa.[1]
The generic name, Thrasops, is from Greek Θρασος (Thrasos) meaning "bold" and ῶφ (ops) meaning "eye".[2]
The specific name, jacksonii, is in honor of English ornithologist Frederick John Jackson.[3]
The specific name, schmidti, is in honor of American herpetologist Karl Patterson Schmidt.[3]
Thrasops is a genus of snakes in the family Colubridae. The genus is endemic to Africa.
Thrasops es un género de serpientes de la familia Colubridae. Sus especies se distribuyen por el África subsahariana, excepto su extremo sur.
Se reconocen las siguientes:[1]
Thrasops es un género de serpientes de la familia Colubridae. Sus especies se distribuyen por el África subsahariana, excepto su extremo sur.
Thrasops on Colubridae sugukonna maoperekond.
Perekonda Thrasops klassifitseeritakse roomajate andmebaasis järgmised maoliigid[1]:
Need maod on levinud Kesk-Aafrikas.
Seni on teada üks meditsiiniliselt oluline dokumenteeritud maohammustuse juhtum.[2]
Selles artiklis on kasutatud prantsuskeelset artiklit fr:Thrasops seisuga 26.01.2014.
Thrasops Colubridae familiako narrasti genero bat da. Afrikan bizi dira.
Thrasops Colubridae familiako narrasti genero bat da. Afrikan bizi dira.
Thrasops est un genre de serpents de la famille des Colubridae[1].
Les espèces de ce genre se rencontrent dans une bande centrale de l'Afrique[1].
Selon Reptarium Reptile Database (12 mars 2012)[2] :
Thrasops est un genre de serpents de la famille des Colubridae.
Thrasops[1] este un gen de șerpi din familia Colubridae.[1]
Cladograma conform Catalogue of Life[1]:
|access-date=
(ajutor)Mentenanță CS1: Nume multiple: lista autorilor (link)