Mvungunya, mvungavunga, mbungati, mranaa au mwegea (Kigelia africana) ni mti mwenye matunda kwa umbo wa soseji kubwa (mavungunya). Kwa asili mti huu unatokea Afrika ya tropiki lakini umepandwa kama mti wa kupamba katika mabara mengine. Mavungunya hutumika katika uganga wa mapokeo na ili kutengeneza pombe ya kienyeji (Kikikuyu: mũratina).
Mvungunya, mvungavunga, mbungati, mranaa au mwegea (Kigelia africana) ni mti mwenye matunda kwa umbo wa soseji kubwa (mavungunya). Kwa asili mti huu unatokea Afrika ya tropiki lakini umepandwa kama mti wa kupamba katika mabara mengine. Mavungunya hutumika katika uganga wa mapokeo na ili kutengeneza pombe ya kienyeji (Kikikuyu: mũratina).