dcsimg

Cheruku ( swahili )

fornì da wikipedia emerging languages

Cheruku ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Glareolidae. Ndege hawa wanaweza kukimbia sana. Wanatokea mahali pakavu kama nyika au jangwa. Hula nzige na wadudu wengine na huyataga mayai mchangani. Cheruku-mamba huonekana karibu na mito na hutaga mayai yake kwa mafungu ya mchanga mtoni. Huainishwa na wataalamu wengine katika familia Pluvianidae. Spishi hii hula wadudu lakini pia hutoa nyama kwa kati ya meno ya mamba.

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

Picha

licensa
cc-by-sa-3.0
drit d'autor
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Cheruku: Brief Summary ( swahili )

fornì da wikipedia emerging languages

Cheruku ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Glareolidae. Ndege hawa wanaweza kukimbia sana. Wanatokea mahali pakavu kama nyika au jangwa. Hula nzige na wadudu wengine na huyataga mayai mchangani. Cheruku-mamba huonekana karibu na mito na hutaga mayai yake kwa mafungu ya mchanga mtoni. Huainishwa na wataalamu wengine katika familia Pluvianidae. Spishi hii hula wadudu lakini pia hutoa nyama kwa kati ya meno ya mamba.

licensa
cc-by-sa-3.0
drit d'autor
Waandishi wa Wikipedia na wahariri