dcsimg

Mtango ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mtango (Cucumis sativus) ni mmea mtambaa wa familia Cucurbitaceae. Matunda yake, yaitwayo matango, hutumika sana katika saladi duniani kote.

Spishi mbili za pori huitwa mtango-mwitu (Cucumis aculeatus na C. dipsaceus). Lakini mtango-tamu (Solanum muricatum) hauna mnasaba na mtango, kwa sababu ni mwana wa familia Solanaceae.

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mtango: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mtango (Cucumis sativus) ni mmea mtambaa wa familia Cucurbitaceae. Matunda yake, yaitwayo matango, hutumika sana katika saladi duniani kote.

Spishi mbili za pori huitwa mtango-mwitu (Cucumis aculeatus na C. dipsaceus). Lakini mtango-tamu (Solanum muricatum) hauna mnasaba na mtango, kwa sababu ni mwana wa familia Solanaceae.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri