dcsimg

Bata-bahari ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Mabata-bahari ni ndege wa maji wa nusufamilia ya Merginae katika familia ya Anatidae. Mabata hawa wanaishi baharini hasa nje ya majira ya kuzaa. Wengi wana tezi za chumvi maalum ambazo zinawawezesha kuvumilia maji ya bahari. Mabata-domomeno hupenda zaidi mazingira ya mito.

Mabata-bahari hula samakigamba na gegereka wa chini ya bahari. Mabata-domomeno hula samaki. Meno ya madomo yao yanawasaidia kushika mawindo. Takriban spishi zote zinatokea kanda za kaskazini mbali.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Bata-bahari: Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Mabata-bahari ni ndege wa maji wa nusufamilia ya Merginae katika familia ya Anatidae. Mabata hawa wanaishi baharini hasa nje ya majira ya kuzaa. Wengi wana tezi za chumvi maalum ambazo zinawawezesha kuvumilia maji ya bahari. Mabata-domomeno hupenda zaidi mazingira ya mito.

Mabata-bahari hula samakigamba na gegereka wa chini ya bahari. Mabata-domomeno hula samaki. Meno ya madomo yao yanawasaidia kushika mawindo. Takriban spishi zote zinatokea kanda za kaskazini mbali.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages