dcsimg

Mjoho ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Mijoho ni miti mikubwa kiasi ya jenasi Diospyros katika familia Ebenaceae. Matunda yake huitwa majoho.

Spishi kadhaa hupandwa ili kuvuna majoho, lakini spishi nyingi sana hukua misituni katika kanda za tropiki na nusutropiki. Nyingine hukatwa ili kutumia ubao wao mzuri (abunusi), nyingine hutumiwa kwa kuvuna majoho, nyingine tena hazitumiki.

Spishi nyingi hutishika na kutoweka kwa sababu zinakatwa sana au kwa sababu mazingira yao yanaharibiwa.

Spishi za Afrika

Picha

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Mjoho: Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Mijoho ni miti mikubwa kiasi ya jenasi Diospyros katika familia Ebenaceae. Matunda yake huitwa majoho.

Spishi kadhaa hupandwa ili kuvuna majoho, lakini spishi nyingi sana hukua misituni katika kanda za tropiki na nusutropiki. Nyingine hukatwa ili kutumia ubao wao mzuri (abunusi), nyingine hutumiwa kwa kuvuna majoho, nyingine tena hazitumiki.

Spishi nyingi hutishika na kutoweka kwa sababu zinakatwa sana au kwa sababu mazingira yao yanaharibiwa.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages