dcsimg

Madende ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Madende ni ndege wa jenasi Cichladusa katika familia ya Muscicapidae. Zamani waliainishwa katika familia ya mikesha (Turdidae). Wana mnasaba na kurumbiza na wanafanana nao. Wana rangi ya kahawa mgongoni na nyeupe chini; madende madoadoa ana madoa meusi kidarini na tumboni. Hawa ni ndege wa misitu mikavu ya Afrika. Madume ya spishi hizi waimba vizuri. Hula wadudu hasa. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika au chini ya kichaka. Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi

Picha

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Madende: Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Madende ni ndege wa jenasi Cichladusa katika familia ya Muscicapidae. Zamani waliainishwa katika familia ya mikesha (Turdidae). Wana mnasaba na kurumbiza na wanafanana nao. Wana rangi ya kahawa mgongoni na nyeupe chini; madende madoadoa ana madoa meusi kidarini na tumboni. Hawa ni ndege wa misitu mikavu ya Afrika. Madume ya spishi hizi waimba vizuri. Hula wadudu hasa. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika au chini ya kichaka. Jike huyataga mayai 2-4.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages