dcsimg

Kitororo ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Vitororo au kongogolo ni ndege wadogo wa jenasi Pogoniulus katika familia Lybiidae. Ndege hawa ni matoleo madogo ya zuwakulu na mwenendo wao ni takriban sawa na hawa. Vitororo ni ndege wadogo wenye 9-12 cm na 7-15 g. Wana rangi ya kijivu, nyeusi au majani, mistari myeupe na madoa mekundu au njano. Hula wadudu na beri, matini madogo na beri za spishi za kirukia hasa. Dume na jike pamoja huchimba tundu katika tawi au shina lililooza na jike huyataga mayai 2-4 ndani yake.

Spishi

Picha

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Kitororo: Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Vitororo au kongogolo ni ndege wadogo wa jenasi Pogoniulus katika familia Lybiidae. Ndege hawa ni matoleo madogo ya zuwakulu na mwenendo wao ni takriban sawa na hawa. Vitororo ni ndege wadogo wenye 9-12 cm na 7-15 g. Wana rangi ya kijivu, nyeusi au majani, mistari myeupe na madoa mekundu au njano. Hula wadudu na beri, matini madogo na beri za spishi za kirukia hasa. Dume na jike pamoja huchimba tundu katika tawi au shina lililooza na jike huyataga mayai 2-4 ndani yake.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages