Mwaloni (kwa Kiingereza: oak) ni mti wa jamii ya Fagaceae.
Majani yake yana rangi ya kijani iliyokolea na hayapuputiki wakati wa kiangazi.
Kuna spishi 600 hivi za jenasi hiyo, nyingi katika Amerika Kaskazini.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.