dcsimg

Mwaloni ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages
 src=
Majani na matunda ya mwaloni.

Mwaloni (kwa Kiingereza: oak) ni mti wa jamii ya Fagaceae.

Majani yake yana rangi ya kijani iliyokolea na hayapuputiki wakati wa kiangazi.

Kuna spishi 600 hivi za jenasi hiyo, nyingi katika Amerika Kaskazini.

Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwaloni kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri