dcsimg

Mkonje ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mikonje, mikonge au panga ni spishi mbili za samaki wa baharini katika jenasi Chirocentrus ya familia Chirocentridae na oda Clupeiformes. Wana nasaba na dagaa.

Spishi zote mbili zina mwili uliorefuka na mataya yenye meno marefu makali ambayo huwezesha hamu yao kubwa, hasa kwa samaki wengine. Hufikia urefu wa m 1. Wana mbavu za rangi ya fedha na mgongo wa kibuluu.

Mikonje huvuliwa kwa kibiashara na kuuzwa wabichi au waliogandishwa.

Spishi

Picha

Marejeo

  • Rashid Anam & Edoardo Mostarda (2012) Field identification guide for the living marine resources of Kenya. FAO, Rome.
  • Gabriella Bianchi (1985) Field guide to the commercial marine brackish-water species of Tanzania. FAO, Rome.

Viungo vya nje

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkonje kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mkonje: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mikonje, mikonge au panga ni spishi mbili za samaki wa baharini katika jenasi Chirocentrus ya familia Chirocentridae na oda Clupeiformes. Wana nasaba na dagaa.

Spishi zote mbili zina mwili uliorefuka na mataya yenye meno marefu makali ambayo huwezesha hamu yao kubwa, hasa kwa samaki wengine. Hufikia urefu wa m 1. Wana mbavu za rangi ya fedha na mgongo wa kibuluu.

Mikonje huvuliwa kwa kibiashara na kuuzwa wabichi au waliogandishwa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri