dcsimg

Mnana ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Minana ni ndege wadogo wa jenasi Ploceus katika familia Ploceidae ambao wanatokea Afrika. Wanafanana na kwera lakini hawana nyeusi kichwani. Ndege hawa hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Hulifuma tago lao kwa majani ya manyasi na hulining'inizia kitawi. Matago yao hupatikana katika makundi makubwa. Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mnana: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Minana ni ndege wadogo wa jenasi Ploceus katika familia Ploceidae ambao wanatokea Afrika. Wanafanana na kwera lakini hawana nyeusi kichwani. Ndege hawa hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Hulifuma tago lao kwa majani ya manyasi na hulining'inizia kitawi. Matago yao hupatikana katika makundi makubwa. Jike huyataga mayai 2-4.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri