Minana ni ndege wadogo wa jenasi Ploceus katika familia Ploceidae ambao wanatokea Afrika. Wanafanana na kwera lakini hawana nyeusi kichwani. Ndege hawa hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Hulifuma tago lao kwa majani ya manyasi na hulining'inizia kitawi. Matago yao hupatikana katika makundi makubwa. Jike huyataga mayai 2-4.
Minana ni ndege wadogo wa jenasi Ploceus katika familia Ploceidae ambao wanatokea Afrika. Wanafanana na kwera lakini hawana nyeusi kichwani. Ndege hawa hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Hulifuma tago lao kwa majani ya manyasi na hulining'inizia kitawi. Matago yao hupatikana katika makundi makubwa. Jike huyataga mayai 2-4.