dcsimg

Mkesha (Modulatricidae) ( 斯瓦希里語 )

由wikipedia emerging languages提供

Mikesha wa familia ya Modulatricidae ni spishi tatu zilizowekwa pamoja kwa muda katika familia yao. Zamani ziliainishwa katika Timaliidae, Pycnonotidae, Turdidae na Muscicapidae lakini utafiti wa hivi karibuni imeonyesha kwamba spishi hizi zina asili ya zamani sana. Wana mnasaba na ndegesukari. Ndege hawa wanafanana na mikesha wengine bila rangi kali. Mgongo una rangi ya kahawa au kijivucheusi na chini ina rangi ya kijivu isiyoiva na madoa meusi. Hawa ni ndege wa misitu ya Afrika. Hula wadudu na pengine beri. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika mti au kichaka au ardhini (mkesha kidari-kijivu). Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi za Afrika

Picha

許可
cc-by-sa-3.0
版權
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
原始內容
參訪來源
合作夥伴網站
wikipedia emerging languages

Mkesha (Modulatricidae): Brief Summary ( 斯瓦希里語 )

由wikipedia emerging languages提供

Mikesha wa familia ya Modulatricidae ni spishi tatu zilizowekwa pamoja kwa muda katika familia yao. Zamani ziliainishwa katika Timaliidae, Pycnonotidae, Turdidae na Muscicapidae lakini utafiti wa hivi karibuni imeonyesha kwamba spishi hizi zina asili ya zamani sana. Wana mnasaba na ndegesukari. Ndege hawa wanafanana na mikesha wengine bila rangi kali. Mgongo una rangi ya kahawa au kijivucheusi na chini ina rangi ya kijivu isiyoiva na madoa meusi. Hawa ni ndege wa misitu ya Afrika. Hula wadudu na pengine beri. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika mti au kichaka au ardhini (mkesha kidari-kijivu). Jike huyataga mayai 2-4.

許可
cc-by-sa-3.0
版權
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
原始內容
參訪來源
合作夥伴網站
wikipedia emerging languages