Kukwi ni spishi za nyoka kijani wa jenasi Philothamnus katika familia Colubridae wasio na sumu. Spishi nyingine huitwa isale, namalanga, naranyasi, ngowe au nyokameni.
Kwa kawaida urefu wa nyoka hawa ni chini ya m 1, mara nyingi sm 50-100 na hadi 130 kwa kipeo. Rangi yao ni kijani pengine pamoja na rangi nyingine kame kijivu, buluu, nyekundu na njano. Spishi kadhaa zina madoa. Nyokameni ni mwekundu au kahawianyekundu.
Nyoka hawa wanatokea karibu na maji mara nyingi kwa sababu takriban spishi zote hula vyura na ndubwi zao. Lakini hupita masaa mengi mitini ambapo huwinda mijusi na vyura-miti.
Kukwi hawana sumu lakini wanaweza kung'ata na wakifanya hii husogea kichwa huku na huku ili kusababisha mikwaruzo mibaya.
Kukwi ni spishi za nyoka kijani wa jenasi Philothamnus katika familia Colubridae wasio na sumu. Spishi nyingine huitwa isale, namalanga, naranyasi, ngowe au nyokameni.
Kwa kawaida urefu wa nyoka hawa ni chini ya m 1, mara nyingi sm 50-100 na hadi 130 kwa kipeo. Rangi yao ni kijani pengine pamoja na rangi nyingine kame kijivu, buluu, nyekundu na njano. Spishi kadhaa zina madoa. Nyokameni ni mwekundu au kahawianyekundu.
Nyoka hawa wanatokea karibu na maji mara nyingi kwa sababu takriban spishi zote hula vyura na ndubwi zao. Lakini hupita masaa mengi mitini ambapo huwinda mijusi na vyura-miti.
Kukwi hawana sumu lakini wanaweza kung'ata na wakifanya hii husogea kichwa huku na huku ili kusababisha mikwaruzo mibaya.
Philothamnus is a genus of snakes in the family Colubridae. The genus is endemic to Sub-Saharan Africa.[1]
The following 24 species are recognized as being valid.[1]
Nota bene: A binomial authority in parentheses indicates that the species was originally described in a genus other than Philothamnus.
Philothamnus is a genus of snakes in the family Colubridae. The genus is endemic to Sub-Saharan Africa.
Philothamnus es un género de serpientes de la familia Colubridae. Sus especies se distribuyen por el África subsahariana.
Se reconocen las siguientes:[1]
Philothamnus es un género de serpientes de la familia Colubridae. Sus especies se distribuyen por el África subsahariana.
Philothamnus on Colubridae sugukonna maoperekond.
Perekonda Philothamnus klassifitseeritakse roomajate andmebaasis järgmised maoliigid[1]:
Neid võib kohata Sahara-taguses Aafrikas.
Selles artiklis on kasutatud prantsuskeelset artiklit fr:Philothamnus seisuga 14.03.2014.
Philothamnus on Colubridae sugukonna maoperekond.
Philothamnus Colubridae familiaren barruko narrasti genero bat da. Saharaz hegoaldeko Afrikan bizi dira.
Philothamnus Colubridae familiaren barruko narrasti genero bat da. Saharaz hegoaldeko Afrikan bizi dira.
Philothamnus est un genre de serpents de la famille des Colubridae[1].
Les 20 espèces de ce genre se rencontrent en Afrique subsaharienne[1].
Selon Reptarium Reptile Database (8 avril 2015)[2] :
Philothamnus est un genre de serpents de la famille des Colubridae.
Philothamnus Smith, 1847 è un genere di serpenti della famiglia dei Colubridi.[1]
Il genere comprende le seguenti specie:[1]
Philothamnus – rodzaj węża z podrodziny Colubrinae w rodzinie połozowatych (Colubridae).
Rodzaj obejmuje gatunki występujące w Czarnej Afryce[6].
Do rodzaju należą następujące gatunki[6]:
Philothamnus – rodzaj węża z podrodziny Colubrinae w rodzinie połozowatych (Colubridae).
Philothamnus[1] este un gen de șerpi din familia Colubridae.[1]
Cladograma conform Catalogue of Life[1]:
|access-date=
(ajutor)Mentenanță CS1: Nume multiple: lista autorilor (link)