dcsimg

Kizu ( swahili )

fornì da wikipedia emerging languages

Vizu ni ndege mbuai wa jenasi Melierax, jenasi pekee ya nusufamilia Melieraxinae katika familia Accipitridae. Mgongo na mabawa yao ina rangi ya kijivu na tumbo lao ni mweupe na milia kijivu. Spishi zote zinatokea Afrika kusini kwa jangwa la Sahara. Zinapenda mahali pakavu kwenye miti. Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya mti na hutaga mayai mawili au matatu, pengine yai moja. Wakati wa majira ya kuzaa huimba kwa milio ya mluzi. Hukamata wanyama na ndege wadogo na wadudu wakubwa.

Spishi

Picha

licensa
cc-by-sa-3.0
drit d'autor
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Kizu: Brief Summary ( swahili )

fornì da wikipedia emerging languages

Vizu ni ndege mbuai wa jenasi Melierax, jenasi pekee ya nusufamilia Melieraxinae katika familia Accipitridae. Mgongo na mabawa yao ina rangi ya kijivu na tumbo lao ni mweupe na milia kijivu. Spishi zote zinatokea Afrika kusini kwa jangwa la Sahara. Zinapenda mahali pakavu kwenye miti. Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya mti na hutaga mayai mawili au matatu, pengine yai moja. Wakati wa majira ya kuzaa huimba kwa milio ya mluzi. Hukamata wanyama na ndege wadogo na wadudu wakubwa.

licensa
cc-by-sa-3.0
drit d'autor
Waandishi wa Wikipedia na wahariri