dcsimg

Tokeeo ( swahili )

fornì da wikipedia emerging languages

Tokeeo ni ndege wa jenasi Macronyx na Tmetothylacus katika familia ya Motacillidae. Wanafanana na matikisa lakini tokeeo ni wakubwa zaidi na makucha ya nyuma ni marefu sana, marefu hata kuliko yale ya vipimanjia. Mgongo wao una michirizi kahawia na wana rangi ya manjano, machungwa au nyekundu chini. Wana mkufu mweusi kidarini. Ndege hawa wanatokea Afrika tu na hupatikana ardhini; hula wadudu. Tago lao ni kikombe cha manyasi ardhini na jike huyataga mayai 2-4.

Spishi

Picha

licensa
cc-by-sa-3.0
drit d'autor
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Tokeeo: Brief Summary ( swahili )

fornì da wikipedia emerging languages

Tokeeo ni ndege wa jenasi Macronyx na Tmetothylacus katika familia ya Motacillidae. Wanafanana na matikisa lakini tokeeo ni wakubwa zaidi na makucha ya nyuma ni marefu sana, marefu hata kuliko yale ya vipimanjia. Mgongo wao una michirizi kahawia na wana rangi ya manjano, machungwa au nyekundu chini. Wana mkufu mweusi kidarini. Ndege hawa wanatokea Afrika tu na hupatikana ardhini; hula wadudu. Tago lao ni kikombe cha manyasi ardhini na jike huyataga mayai 2-4.

licensa
cc-by-sa-3.0
drit d'autor
Waandishi wa Wikipedia na wahariri