Oposumu (kutoka Kiing.: opossum) ni wanyama wa ngeli ya marsupialia katika oda ya Didelphimorphia wa Amerika.
Makala hii kuhusu "Oposumu" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili opossum kutoka lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni oposumu.Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.