dcsimg

Zuwanende ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Zuwanende ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia ya Muscicapidae. Ndege hawa wana mnasaba na kurumbiza lakini mkia wao ni mfupi zaidi na domo ni jembamba. Wana rangi ya kahawa au zaituni mgongoni na koo na kidari ina rangi ya machungwa pengine karibu na nyekundu pengine njano. Hawa ni ndege wa misitu ya Afrika kusini kwa Sahara, kwa kawaida milimani, isipokuwa zuwanende wa Ulaya. Hula wadudu, buibui na nyungunyungu, pengine beri na mbegu pia. Hujenga tago lao katika tundu ya asili na jike huyataga mayai 2-6.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Zuwanende: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Zuwanende ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia ya Muscicapidae. Ndege hawa wana mnasaba na kurumbiza lakini mkia wao ni mfupi zaidi na domo ni jembamba. Wana rangi ya kahawa au zaituni mgongoni na koo na kidari ina rangi ya machungwa pengine karibu na nyekundu pengine njano. Hawa ni ndege wa misitu ya Afrika kusini kwa Sahara, kwa kawaida milimani, isipokuwa zuwanende wa Ulaya. Hula wadudu, buibui na nyungunyungu, pengine beri na mbegu pia. Hujenga tago lao katika tundu ya asili na jike huyataga mayai 2-6.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Pogonocichla ( Dutch; Flemish )

provided by wikipedia NL

Vogels

Pogonocichla is een monotypisch geslacht van zangvogels uit de familie vliegenvangers (Muscicapidae). De enige soort:[1]

Bronnen, noten en/of referenties
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipedia-auteurs en -editors
original
visit source
partner site
wikipedia NL