Nyoka-misitu ni nyoka wa jenasi Buhoma katika familia Lamprophiidae ambao wanatokea misituni kwa Afrika ya Magharibi na ya Mashariki. Kuna spishi nyingine ya nyoka-misitu katika jenasi Hormonotus, nyoka-misitu njano.
Nyoka hawa sio warefu sana, sm 52 kwa kipeo lakini sm 20-35 kwa kawaida. Rangi yao ni kahawia au kijivu na mara nyingi wana mlia au milia myeusi myembamba mgongoni. Tumbo ni kijivu, hudhurungi au maziwa.
Nyoka laini hukiakia mchana misituni na hupumzika chini ya magogo, matawi au majani makavu au katika vishimo. Hula vyura hasa.
Nyoka hawa wana sumu na kwa ajili ya ukubwa wao mdogo hawawezi kung'ata watu na hawashambulii. Lakini wakiokotwa hutoa kinyaa kinukacho kutoka kloaka.
Nyoka-misitu ni nyoka wa jenasi Buhoma katika familia Lamprophiidae ambao wanatokea misituni kwa Afrika ya Magharibi na ya Mashariki. Kuna spishi nyingine ya nyoka-misitu katika jenasi Hormonotus, nyoka-misitu njano.
Nyoka hawa sio warefu sana, sm 52 kwa kipeo lakini sm 20-35 kwa kawaida. Rangi yao ni kahawia au kijivu na mara nyingi wana mlia au milia myeusi myembamba mgongoni. Tumbo ni kijivu, hudhurungi au maziwa.
Nyoka laini hukiakia mchana misituni na hupumzika chini ya magogo, matawi au majani makavu au katika vishimo. Hula vyura hasa.
Nyoka hawa wana sumu na kwa ajili ya ukubwa wao mdogo hawawezi kung'ata watu na hawashambulii. Lakini wakiokotwa hutoa kinyaa kinukacho kutoka kloaka.
Buhoma is a genus of snakes in the superfamily Elapoidea. The genus is endemic to Africa.[2]
It was formerly classified in the family Lamprophiidae, but following the split of that family, the taxonomic placement of Buhoma remains uncertain.[3]
Three species are recognized as being valid.[2]
Nota bene: A binomial authority in parentheses indicates that the species was originally described in a genus other than Buhoma.
Buhoma is a genus of snakes in the superfamily Elapoidea. The genus is endemic to Africa.
It was formerly classified in the family Lamprophiidae, but following the split of that family, the taxonomic placement of Buhoma remains uncertain.
Buhoma es un género conocido de serpientes de la familia Lamprophiidae. Se distribuyen por el África subsahariana.[1]
Se reconocen las siguientes especies:[1]
Buhoma es un género conocido de serpientes de la familia Lamprophiidae. Se distribuyen por el África subsahariana.
Buhoma Lamprophiidae familiako narrasti genero bat da. Afrikako hegoaldean bizi dira.
Buhoma Lamprophiidae familiako narrasti genero bat da. Afrikako hegoaldean bizi dira.
Buhoma est un genre de serpents de la famille des Lamprophiidae[1].
Les espèces de ce genre se rencontrent dans la moitié Sud de l'Afrique[1].
Selon Reptarium Reptile Database (05 janv. 2012)[2] :
Buhoma est un genre de serpents de la famille des Lamprophiidae.
Buhoma[1] este un gen de șerpi din familia Colubridae.[1]
Cladograma conform Catalogue of Life[1]:
|access-date=
(ajutor)Mentenanță CS1: Nume multiple: lista autorilor (link)