dcsimg

Lugowi ( swahili )

tarjonnut wikipedia emerging languages

Lugowi (Cynodon spp.) ni jina la spishi za nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Masuke kadhaa yanamea juu ya ubua kwa umbo wa vidole vya mkono.

Lugowi wa kawaidi unatoka Mashariki ya Kati kwa asili, lakini siku hizi hupandwa sana katika maeneo ya hewa ya joto. Spishi nyingine sita zinatokea Afrika kwa asili.

Spishi

Picha

lisenssi
cc-by-sa-3.0
tekijänoikeus
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
alkuperäinen
käy lähteessä
kumppanisivusto
wikipedia emerging languages

Lugowi: Brief Summary ( swahili )

tarjonnut wikipedia emerging languages

Lugowi (Cynodon spp.) ni jina la spishi za nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Masuke kadhaa yanamea juu ya ubua kwa umbo wa vidole vya mkono.

Lugowi wa kawaidi unatoka Mashariki ya Kati kwa asili, lakini siku hizi hupandwa sana katika maeneo ya hewa ya joto. Spishi nyingine sita zinatokea Afrika kwa asili.

lisenssi
cc-by-sa-3.0
tekijänoikeus
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
alkuperäinen
käy lähteessä
kumppanisivusto
wikipedia emerging languages