dcsimg

Ictonyx ( İnterlingua (Uluslararası Yardımcı Dil Derneği) )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Ictonyx es un genere de Ictonychinae.

Nota
lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Wikipedia authors and editors

Kicheche ( Svahili )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Vicheche au cheche ni wanyama wa jenasi mbalimbali katika familia Mustelidae. Wanyama hawa ni miongoni mwa wale wanaotoa vundo mbaya kabisa. Wataalamu wengine wanadai kwamba kicheche wa kawaida ananuka vibaya kuliko wanyama wote. Vundo hii inatoka matezi karibu na mkundu kama mnyama akitishwa, na kwa kawaida adui atoroka. Spishi zote zina pua, kidari, tumbo na miguu nyeusi. Zile za Afrika zina milia myeupe na myeusi mgongoni, zile za Amerika zina mgongo kijivu na ile ya Ulaya ina mgongo njano wenye madoa meusi. Vicheche hula wanyama wadogo, ndege na mijusi, wadudu, samaki, amfibia, nyoka na hata matunda na manyasi.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Kicheche: Brief Summary ( Svahili )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Vicheche au cheche ni wanyama wa jenasi mbalimbali katika familia Mustelidae. Wanyama hawa ni miongoni mwa wale wanaotoa vundo mbaya kabisa. Wataalamu wengine wanadai kwamba kicheche wa kawaida ananuka vibaya kuliko wanyama wote. Vundo hii inatoka matezi karibu na mkundu kama mnyama akitishwa, na kwa kawaida adui atoroka. Spishi zote zina pua, kidari, tumbo na miguu nyeusi. Zile za Afrika zina milia myeupe na myeusi mgongoni, zile za Amerika zina mgongo kijivu na ile ya Ulaya ina mgongo njano wenye madoa meusi. Vicheche hula wanyama wadogo, ndege na mijusi, wadudu, samaki, amfibia, nyoka na hata matunda na manyasi.

lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Waandishi wa Wikipedia na wahariri