Mifuu (pia mifuru au mifudu) ni miti ya jenasi Vitex katika familia) Lamiaceae. Spishi nyingine huitwa mbwanga, mgege, msasati, mtalali au mvumba.
Jenasi hiyo ina spishi takriban 250 na kati ya hizo kadhaa zinatokea Afrika ya Mashariki.
Matunda yake yalikayo huitwa mafuu na yana rangi ya nyeusi, zambarau au nyekundu.
Mifuu (pia mifuru au mifudu) ni miti ya jenasi Vitex katika familia) Lamiaceae. Spishi nyingine huitwa mbwanga, mgege, msasati, mtalali au mvumba.
Jenasi hiyo ina spishi takriban 250 na kati ya hizo kadhaa zinatokea Afrika ya Mashariki.
Matunda yake yalikayo huitwa mafuu na yana rangi ya nyeusi, zambarau au nyekundu.