dcsimg

Mfuu ( Svahili )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Mifuu (pia mifuru au mifudu) ni miti ya jenasi Vitex katika familia) Lamiaceae. Spishi nyingine huitwa mbwanga, mgege, msasati, mtalali au mvumba.

Jenasi hiyo ina spishi takriban 250 na kati ya hizo kadhaa zinatokea Afrika ya Mashariki.

Matunda yake yalikayo huitwa mafuu na yana rangi ya nyeusi, zambarau au nyekundu.

Spishi za Afrika ya Mashariki

Picha

Viungo vya nje

Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mfuu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mfuu: Brief Summary ( Svahili )

wikipedia emerging languages tarafından sağlandı

Mifuu (pia mifuru au mifudu) ni miti ya jenasi Vitex katika familia) Lamiaceae. Spishi nyingine huitwa mbwanga, mgege, msasati, mtalali au mvumba.

Jenasi hiyo ina spishi takriban 250 na kati ya hizo kadhaa zinatokea Afrika ya Mashariki.

Matunda yake yalikayo huitwa mafuu na yana rangi ya nyeusi, zambarau au nyekundu.

lisans
cc-by-sa-3.0
telif hakkı
Waandishi wa Wikipedia na wahariri