dcsimg

Kangaruu ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages
 src=
Dume la kangaruu mwekundu (Macropus rufus) huko Taronga Western Plains Zoo, Australia

Kangaruu (kutoka Kiing.: kangaroo) ni jina la wanyama mamalia wa spishi mbalimbali walio wenyeji wa Australia. Wote ni wala majani wanaobeba watoto wao wachanga ndani ya pochi ya ngozi iliyopo nje ya mwili juu ya tumbo wakiwa spishi zinazojulikana zaidi ya wanyama wa ngeli ndogo ya marsupialia. Familia ya spishi zao huitwa kwa jina la bioloja "Macropodidae" yaani wenye miguu mikubwa (Kigiriki makrós (kubwa) na poús (mguu)). Kuna spishi zaidi ya 60 zinazojulikana.

Kwa matumizi ya kawaida neno hili hutumika kuelezea spishi hii kutoka kwenye familia kubwa hasa wale wa jenasi ya Macropus, kangaruu mwekundu, kangaruu wa kijivu wa magharibi na kangaruu wa kijivu wa mashariki[1]. Kangaruu ni wazawa wa bara la Australia. Jamii nyingine kangaruu wengine wanapatikana pia Australia na New Guinea.

Kangaruu wakubwa wamezoea mabadiliko yaliyosababishwa na kilimo cha kibinadamu katika mazingira yao asilia lakini wale wa spishi za wadogo wengi wapo hatarini. Hawafugwi kwa lolote lakini kangaroo wa mwituni wanawindwa kwa ajili ya nyama, michezo na kulinda malisho ya kondoo na ngombe [2] japo kwa vipingamizi. Uwindaji wa kangaroo una faida kubwa kimazingira na kiafya kwa ngombe na kondoo wanaochungwa kwa ajili ya nyama.[3]

Kangaroo ni alama ya taifa ya Australia picha yake inatumika katika ngao ya taifa [4], kwenye pesa zake[5] na baadhi ya mashirika makubwa ya Australia.[6] Kangaroo ni muhimu sana kwa utamaduni na sura ya taifa ya Australia.

Maelezo

 src=
Kangaruu kijivu mashariki akikimbia

Kuna spishi nne ambazo huonwa kuwa kama ni kangaruu.

  • Macropus rufus, Kangaruu Mwekundu (Red kangaroo) ndiye mkubwa kuliko wengine wote wachache kwa idadi na hupatikana kwenye sehemu kama kidogo za bara, dume mkubwa huweza kufikia hata urefu wa mita 2 na uzito wa kg 90.
  • Macropus giganteus, Kangaruu Kijivu Mashariki (Eastern grey kangaroo) hawafahamiki sana nje ya Australia lakini huonekana sana hasa maeneo ya mashariki mwa bara.
  • Macropus fuliginosus, Kangaruu Kijivu Magharibi (Western grey kangaroo) huyu ni mdogo kiasi,karibu kg, 54 kwa dume mkubwa hupatikana mashariki mwa Australia, kusini mwa Australia na kwenye bonde la mto Darling.
  • Macropus antilopinus, Kangaruu Swala (Antilopine kangaroo) kwa uhalisia, wanapatikana kaskazini zaidi ukilinganisha na wengine kama wao, ni viumbe wa nyikani na msituni na huishi kwa makundi makundi.

Zaidi kuna wanyama wengine jamii ya macropods wanaohusiana kwa ukaribu na kangaroo kwenye familia ya macropods

 src=
Kangaruu mwekundu (Macropus rufus)

Kwa muda mrefu Ulaya ilimuona kangaroo kama mnyama wa ajabu watu wa mwanzo walisema kuwa kangaroo wanakuwa kama tandala (bila ya pembe); amesimama kama binadamu na anaruka kama chura. Kangaroo wana miguu ya nyuma yenye nguvu, maalumu kwa ajili ya kuruka, mkia mrefu wa nyuma wenye misuli kwa ajili ya balance, na kichwa kidogo, kangaroo jike huwa na mfuko (masupilim) ambamo mtoto humalizia kukua akiwa humo ndani.

Tabia

Kangaroo ndio wanyama pekee wakubwa wanao jongea kwa kuruka. Mwendo kasi wake wa kuruka kwa kawaida ni km 20 - 25 kwa saa na anaweza kukimbia mpaka kwa kilometa 70 kwa saa kwa umbali mfupi, japo anaweza kukimbia kwa kilometa 40 kwa saa kwa hata kilometa mbili.[7] Mwendo huu umezoeleka kwake kwa sababu yeye si tu kukimbia maalum, lakini mara nyingi hukimbia kutafuta chakula na maji.

Kwa sababu ya wayo zake kubwa hawawezi kutembea vizuri na kwa kasi ndogo. Anatumia mkia wake na miguu ya mbele,kuweka kiegemeo cha miguu mitatu na kasha husogeza miguu yake miwili mikubwa. [8] Kangaruu huishi kwa miaka mine au sita (4-6). [9]

Chakula

 src=
Kangaruu kijivu mashariki porini

Kangaruu hula nyasi na majani ya vichaka, spishi ndogo za kangaruu hula fungi. Spishi nyingi huchanganyika usiku[10] na hutumia muda mwingi wa mchana kupumzika kivulini, na kutembea kutafuta chakula jioni tulivu, usiku na asubuhi. Kwa sababu ya ulaji wake meno ya kangaroo yamejifanyia meno mengine maalum. Meno yake chonge yanauwezo wa kung’ata nyasi chini kabisa karibu na ardhi na magego yake kwa ajili ya nyasi.mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kama ya chakula usio toa gesi ya methane. Licha ya kuwa na utaratibu wa mfumo wa mmengenyo wa chakula kama wa wanyama wengine wala nyasi, mfano ngombe ambao hutoa kiasi kikubwa cha methane; wakati wa kutoa hewa kangaruu hawatoi nje gesi ya methane. Hewa ya hidrojeni badala ya kuwa methane, hubadilishwa na huwa kemikali ya aseteki, ambayo hutumika kutengeneza nishati zaidi. Wanasayansi wa mimea wanashauku kubwa ya kubainisha bakteria wanaofanya kazi hiyo toka kwa kangaroo mpaka kwa ng'ombe sababu gesi ya methane hutoka kwa ng'ombe. Ng’ombe huchangaia uchafuzi wa hali ya hewa mara 23 zaidi kuliko hewa ya ukaa.

Kuyamudu mazingira

 src=
Ndama mchanga wa kangaruu akinyonya ndani ya mfuko
 src=
Kangaruu mtoto

Kangaruu wamejijengea maungo kadhaa yanayo wawezesha kuishi katika makazi yasiyo na rutuba na hali ya hewa yenye kubadilika badilika Bila kutegemewa wakati wa ukame msimu usio wa mvua, Ngamia dume hawazalishi manii, nao kangaroo jike hushika mimba tu kama kuna mvua ya kutosha ya kuzalisha kiasi kikubwa cha majani.

Kuna mahusiano wakati wa kuruka na kupumua kwa kangaroo wakati mguu unatoka ardhini hewa inatoka mapafuni kurusha mguu mbele tayari kwa kutua hujaza tena mapafu kwa hewa kuweka matumizi mazuri ya nishati, uchunguzi umeonesha kuwa zaidi ya nishati inayotumika kuvukia kangaroo huhitaji nishati ndogo sana kama anataka kuvuka sana tofauti na wanyama wengine wanapoongeza kasi ya miendo yao mf. farasi na binadamu

Uzazi na mzunguko wa uzazi

Yai la kangaroo jike huwa ndani ya ovari na hushuka mpaka kwenye uterasi tayari kwa ajili ya kurutubishwa.kijusi hukua kwa haraka sana na kutoka nje baada ya siku 33, kwa kawaida huwa anazaliwa mtoto mmoja tu. Mtoto huyo huwa haoni hana nywele na urefu wa sentimeta chache sana miguu yake ya nyuma huwa inakuwa haijakuwa hivyo hutumia tu miguu ya mbele kujisogeza kwenye mfuko wa mama yake, na huchukua dakika tatu mpaka tano. Akifika ndani ya pochi huanza kunyonya. Baada ya siku 150, mtoto anaweza kutokeza nje kwa mara ya kwanza. Baada ya kuchunguila chungulia nje kwa siku kadhaa na kuona kuwa ni salama. Baada ya hapo hutumia muda wake mwingi kuchungulia nje duniani na baada ya siku 235, hutoka nje ya pochi kwa mara ya mwisho. [11]

Nyama

Nyama ya kangaroo hupikwa kwa namna mbalimbali. Nyama hii tena ni chakula kwa watu wa Aboriginal.’

WikiLettreMini.svg Makala hii kuhusu "Kangaruu" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili kangaroo kutoka lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni kangaruu.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Kangaruu: Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages
 src= Dume la kangaruu mwekundu (Macropus rufus) huko Taronga Western Plains Zoo, Australia

Kangaruu (kutoka Kiing.: kangaroo) ni jina la wanyama mamalia wa spishi mbalimbali walio wenyeji wa Australia. Wote ni wala majani wanaobeba watoto wao wachanga ndani ya pochi ya ngozi iliyopo nje ya mwili juu ya tumbo wakiwa spishi zinazojulikana zaidi ya wanyama wa ngeli ndogo ya marsupialia. Familia ya spishi zao huitwa kwa jina la bioloja "Macropodidae" yaani wenye miguu mikubwa (Kigiriki makrós (kubwa) na poús (mguu)). Kuna spishi zaidi ya 60 zinazojulikana.

Kwa matumizi ya kawaida neno hili hutumika kuelezea spishi hii kutoka kwenye familia kubwa hasa wale wa jenasi ya Macropus, kangaruu mwekundu, kangaruu wa kijivu wa magharibi na kangaruu wa kijivu wa mashariki[1]. Kangaruu ni wazawa wa bara la Australia. Jamii nyingine kangaruu wengine wanapatikana pia Australia na New Guinea.

Kangaruu wakubwa wamezoea mabadiliko yaliyosababishwa na kilimo cha kibinadamu katika mazingira yao asilia lakini wale wa spishi za wadogo wengi wapo hatarini. Hawafugwi kwa lolote lakini kangaroo wa mwituni wanawindwa kwa ajili ya nyama, michezo na kulinda malisho ya kondoo na ngombe [2] japo kwa vipingamizi. Uwindaji wa kangaroo una faida kubwa kimazingira na kiafya kwa ngombe na kondoo wanaochungwa kwa ajili ya nyama.[3]

Kangaroo ni alama ya taifa ya Australia picha yake inatumika katika ngao ya taifa [4], kwenye pesa zake[5] na baadhi ya mashirika makubwa ya Australia.[6] Kangaroo ni muhimu sana kwa utamaduni na sura ya taifa ya Australia.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Kanggaro ( тагалски )

добавил wikipedia emerging languages
 src=
Macropus giganteus

Ang kangaroo (Ingles: kangaroo) isang marsupial mula sa pamilya Macropodidae (na nangangahulugang "malaking paa"). Sa karaniwang paggamit ang termino ay ginagamit upang ilarawan ang pinakamalaking species mula sa pamilya, lalo na ng mga genus Macropus. Kanggaro ay katutubo sa Australia.

Ang malaking kanggaro may iniangkop mas mas mahusay kaysa sa mga mas maliit macropods sa lupain ng pag-clear ng pastoral pagbabago ng agrikultura at habitat dinala sa landscape Australyano ng mga tao. Marami sa mga mas maliit na species ay bihira at mga endangered, habang kanggaro ay medyo masagana.


Mamalya Ang lathalaing ito na tungkol sa Mamalya ay isang usbong. Makatutulong ka sa Wikipedia sa nito.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Mga may-akda at editor ng Wikipedia
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Kangoeroes ( Vls )

добавил wikipedia emerging languages

Kangoeroes (Macropodidae) zyn e familie van buudelbeestn (Marsupialia). De noame 'kangoeroe' wordt gebruukt vo de vier grotste soort'n, moa der bestoan nog e kêe 50 klindere soort'n lyk wallabies, boomkangoeroes, wallaroes en pademelongs. Ze leevn in Australië moa ze zyn ook te viendn in Nieuw-Guinea. D' Australiërs anzien de kangoeroe lik hunder nationaal symbool.

De noame Macropodidae wil zeggn "grootpootign", wat da verwyst noar hunder enorme achterpoot'n. Kangoeroes spriengn on z' under zeere willn verplatsn, en ze loop'n ip vier poot'n vo troage te goan. Ze kunn'n nie achteruut loop'n, moa ze kunn'n wel drie kêes zo verre spriengn of under eign lengte. Ze kunn'n ook zwemmn os 't noodig is. De kangoeroe is e plantneter. Z' eet'n gas, moa sommigte eet'n ook struuk'n.

Kangoeroes zyn buudelbeest'n omdan de wuvetjes under joengn droagn in e speciaal zaksje an hunder lyf.

Der bestoan vier soort'n 'echte' kangoeroes:

  • De roste reuzekangoeroe (Macropus rufus), de grotste buudelbeeste ter weireld.
  • De grysde reuzekangoeroe (Macropus giganteus)
  • De westelik grysde reuzekangoeroe (Macropus fuliginosus), e bitje klinder
  • D' antilopekangoeroe (Macropus antilopinus)
лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Känguru ( алемански )

добавил wikipedia emerging languages

D Känguru (Macropodidae; v. altgriech. makrós μακρός „groos“ und poús πούς, Gen. podós ποδός „Fuess“) – zum sä vo de Rattekänguru abzgränze au as Ächti oder Äigentligi Känguru bezäichnet – si e Familie us dr Büteldierordnig Diprotodontia. Si zele zu de bekanntiste Büteldier und si tüpischi Verdräter vo dr australische Fauna, lääbe aber au uf Nöiginea. Charakteristisch für d Känguru isch, ass si mäistens dütlig verlengereti Hinderbäi häi, Pflanze frässe und vor allem z Nacht aktiv si oder wenn afo dunkel wird. D Familie umfasst öbbe 65 rezänti Arte, wo vier von ene scho usgstorbe si.

Bildli

Litratuur

  • Terence J. Dawson: Kangaroos. Cornell University Press, Comstock, Cornell 1995, ISBN 0-8014-8262-3
  • Tim Flannery: Mammals of New Guinea. Cornell University Press, Cornell 1995, ISBN 0-8014-3149-2
  • Udo Gansloßer (Hrsg.): Die Känguruhs. Filander, Fürth 1999, 2004, ISBN 3-930831-30-9
  • Bernhard Grzimek: Grzimeks Tierleben. Bd 10. Säugetiere 1. Droemer-Knauer, München, DTV, München, Bechtermünz, Augsburg 1979, 2000, ISBN 3-8289-1603-1, S. 128-164
  • John A. Long, u. a.: Prehistoric Mammals of Australia and New Guinea. Johns Hopkins University Press, Baltimore 2003, ISBN 0-8018-7223-5
  • Ronald Strahan: Mammals of Australia. Smithsonian Books, Washington DC 1996, ISBN 1-56098-673-5
  • Ronald M. Nowak: Walker's Mammals of the World. 6. Auflage. Johns Hopkins University Press, Baltimore 1999, ISBN 0-8018-5789-9.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Autorët dhe redaktorët e Wikipedia
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Känguru: Brief Summary ( алемански )

добавил wikipedia emerging languages

D Känguru (Macropodidae; v. altgriech. makrós μακρός „groos“ und poús πούς, Gen. podós ποδός „Fuess“) – zum sä vo de Rattekänguru abzgränze au as Ächti oder Äigentligi Känguru bezäichnet – si e Familie us dr Büteldierordnig Diprotodontia. Si zele zu de bekanntiste Büteldier und si tüpischi Verdräter vo dr australische Fauna, lääbe aber au uf Nöiginea. Charakteristisch für d Känguru isch, ass si mäistens dütlig verlengereti Hinderbäi häi, Pflanze frässe und vor allem z Nacht aktiv si oder wenn afo dunkel wird. D Familie umfasst öbbe 65 rezänti Arte, wo vier von ene scho usgstorbe si.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Autorët dhe redaktorët e Wikipedia
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Känguruen ( луксембуршки )

добавил wikipedia emerging languages

D'Känguruen (Macropodidae) sinn eng Famill aus der Beideldéirenuerdnung Diprotodontia.

E Känguru ass eng vu bal 180 Zorte Beidelmamendéieren. Et gëtt bis zu 40 Aarte vu Känguruen, déi vu ganz kleng bis zu 2 m kënne grouss ginn. Verschiddener kënnen souguer op Beem klammen.

Verbreedung

Kängurue gëtt et just an Australien an an Neiguinea.

Beschreiwung

Kängurue si Beideldéiere mat laange, kräftegen Hannerbeen awer am Verglach dozou mat kuerze, schwaache viischte Been an engem décken horege Schwanz. Si sprangen op hiren hënneschte Bee fir séier virun ze kommen. Hiren décke Schwanz beréiert praktesch net de Buedem. Seng Funktioun ass, bei der Fortbeweegung, dem Kierper dee wäit no vir gebéckt ass, d'Gläichgewiicht ze ginn, an am Sëtze fir de Kierper ze stäipen. Beim Kämpfe stäipt de Känguru sech op säi Schwanz a schléit mat sengen hënneschte Been fest zou. E Känguru kann awer och op véier Patte lafen a schleeft säi Schwanz da just hannendrun. Seng hënnescht Patte si ganz laang an hu véier Zéiwen.

Hiert Gebëss huet am ieweschte Gebéck op all Säit dräi Schneitzänn déi duerch eng Spléck vun de Bakzänn getrennt sinn. Déi mëttelst ënnescht Zänn si Schneitzänn, déi no vir geriicht sinn.

Déi echt Känguruen hunn e ganz staarken hënneschten an e schwaache viischte Kierperdeel. Nëmmen e puer Aarte vu Männercher hu kräfteg Aarmmuskelen.

Déi verschidden Aarte vu Känguruen hu ganz verschidde Gréissten.

Liewensweis

Si si meeschtens nuets aktiv an hu sech dem dréchene Klima an deenen nierstoffaarme Biedem vun Australien ugepasst.

Ernierung

Kängurue si Planzefrësser an erniere sech haaptsächlech vu Gras a Blieder.

Fortplanzung

 src=
Neigebuere Känguru am Beidel vum Mammendéier

D'Weibchen huet e Brutbeidel um Bauch an deem véier Mame sinn. An dësem Beidel zitt si hiert Jonkt grouss. E Känguru bréngt, bis op e puer Ausnamen, normalerweis just ee Jonkt op d'Welt. D'Zäit tëscht der Befruchtung an der Gebuert variéiert, ofhängeg vun der Aart, tëscht 29 an 38 Deeg.

De Beidel gëtt kuerz virun der Gebuert gutt ausgeleckt, da gëtt sech mam Réck géint eppes gestäipt, déi hënnescht Been, mam Schwanz dertëscht, wäit ewech gestreckt. Dat Jonkt kënnt an enger Blos op Welt, déi mat Fruuchtwaasser gefëllt ass. No der Gebuert zerplatzt déi Blos an den Nowuess klëmmt sou séier wéi méiglech an der Mamm hire Beidel, wou en dann ofgeleckt an duerno zwéi bis dräi Méint laang geniert gëtt. No aacht Méint klamme si dann definitiv aus dem Beidel well si dann ze grouss sinn, ginn awer nach bis zu engem Joer weider geniert.

Systematik

Famill: Känguruen (Macropodidae)

Um Spaweck

Commons: Macropodidae – Biller, Videoen oder Audiodateien
лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia Autoren an Editeuren
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Känguruen: Brief Summary ( луксембуршки )

добавил wikipedia emerging languages

D'Känguruen (Macropodidae) sinn eng Famill aus der Beideldéirenuerdnung Diprotodontia.

E Känguru ass eng vu bal 180 Zorte Beidelmamendéieren. Et gëtt bis zu 40 Aarte vu Känguruen, déi vu ganz kleng bis zu 2 m kënne grouss ginn. Verschiddener kënnen souguer op Beem klammen.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia Autoren an Editeuren
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Macropodidae ( шкотски )

добавил wikipedia emerging languages

Macropods are marsupials belangin tae the faimily Macropodidae, which includes kangaroos, wallabies, tree-kangaroos, pademelons, an several ithers. Macropods are native tae Australie, New Guinea, an some nearbi islands.[2] Afore European settlement o Australie, aboot 65 species o macropods existit. Sax species hae syne acome extinct. Anither 11 species hae been greatly reduced in nummers. Ither species (e.g. Simosthenurus, Propleopus, Macropus titan) acame extinct efter the Australian Aborigines arrived an afore the Europeans arrived.

References

  1. Groves, C. P. (2005). Wilson, D. E.; Reeder, D. M (eds.). Mammal Species of the World (3rd ed.). Baltimore: Johns Hopkins University Press. pp. 58–70. OCLC 62265494. ISBN 0-801-88221-4.
  2. Clode, D (2006). Continent of curiosities: a journey through Australian natural history. Melbourne: Cambridge University Press. pp. 25–8. ISBN 978-0-521-86620-0.
лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Macropodidae: Brief Summary ( шкотски )

добавил wikipedia emerging languages

Macropods are marsupials belangin tae the faimily Macropodidae, which includes kangaroos, wallabies, tree-kangaroos, pademelons, an several ithers. Macropods are native tae Australie, New Guinea, an some nearbi islands. Afore European settlement o Australie, aboot 65 species o macropods existit. Sax species hae syne acome extinct. Anither 11 species hae been greatly reduced in nummers. Ither species (e.g. Simosthenurus, Propleopus, Macropus titan) acame extinct efter the Australian Aborigines arrived an afore the Europeans arrived.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Кенгуру ( удмуртски )

добавил wikipedia emerging languages
 src=
Кенгуру

Кенгуру (латин кылын Macropodidae spp.) – Macropodidae семьяысь Австралияын улӥсь пичи но бадӟым пӧйшуръёс.

Видъёс

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Кенгуру сымалдар ( киргиски )

добавил wikipedia emerging languages
 src=
Macropus eugenii

Кенгуру сымалдар (лат. Macropodidae) – баштыкчан сүт эмүүчүлөрдүн тукуму. Дене узундугу 25– 160 см, куйругу 15–105 см, салмагы 1,4–90 кг. Секиргенде куйругу тең салмактуулукту сактап, тынч турганда таяныч катары кызмат аткарат. Карыны татаал түзүлүштө, көп камералуу. Өсүмдүк менен азыктанат. Азыгын кулгуп кепшейт. 15–17 уруусу, 55тей түрү Австралия, Тасмания, Жаңы Гвинея, Бисмарк архипелагында таралган. Жерде секирип жүрөт. Жылына бир жолу бирди (чанда 2) тууп, 6–8 ай баштыгында алып жүрүп жетилтет. Айрым түрүнө эти, териси үчүн мергенчилик кылынат, фермаларда өстүрүлөт. Азайып кеткендиктен, 9 түрү ТКЭСтин Кызыл китебине катталган.

Колдонулган адабияттар

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia жазуучу жана редактор
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Кенгуру: Brief Summary ( удмуртски )

добавил wikipedia emerging languages
 src= Кенгуру

Кенгуру (латин кылын Macropodidae spp.) – Macropodidae семьяысь Австралияын улӥсь пичи но бадӟым пӧйшуръёс.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Көнгерәләр ( татарски )

добавил wikipedia emerging languages

Көнгерәләр (лат. Macropodidae) – сумкалы имезүчеләр гаиләсе. Үлән ашаучы, ике аягы белән бер юлы сикергәләп хәрәкәт итә. Көнгерә гаиләсенә валлаби, валлару һәм (баһадир) кенгуру керә. Капитан Джеймс Кук 1770 елда Австралия ярында I гаҗәеп сәер хайван күрә һәм шунда яшәүче - бер кешедән: «Бу хайванның исеме ничек?» — дип сорый. Теге кеше Кукның телен аңламый һәм: «Кен-гу-ру», — дип җавап бирә. Бу сүз «мин аңламыйм» дигән мәгънәне аңлата. Шул көннән башлап әлеге хайван кенгуру (көнгерә) дип йөртелә башлый.

Көнгерәнең гәүдә төзелеше бик сәер: көчле арт аяклар, зур көйрык, тар җилкә, кеше кулларына өхшаган алгы тәпиләр, бөтен көрсагын диярлек каплап алган тирән тире катламы, ягъни сумка. Көнгерәнең төрләре бик күп: зур җирән көнгерә, тау көнгерәсе, агач көнгерәсе, алып көнгерә, куаклык көнгерәсе, җирән көнгерә, сөры көнгерә, урман көнгерәсе һ.б. Зур жирән көнгерәнең авырлыгы 90 кг. Алар Австралия далаларында зур-зур көтү булып яшиләр. Зур жирән көнгерә тырнаклы алгы тәпиләре белән үзе туклана төрган тамыр һәм бүлбеләрне бик җиңел казып чыгаpa. Ә арткы аяклары белән сугыша: кинәт кенә үзенең бөтен гәүдә авырлыгын койрыгына күчерә дә, бушап калган ике арткы аягы белән өстән аска таба бер хәрәкәт ясап, дөшманына көтөчкыч җәрәхәтләр ясый. Аның арткы аякларында дүрт кенә бармак булса да, тырнаклары пычак кебек үткен була. Ә инде дөшманыннан качканда, ул, көчле арткы аяклары белән этелеп, өзынлыкка 13 м га, биеклеккә 3 м га кадәр гаять зур сикереш ясап чаба.

Көнгерәнең баласы сукыр, шәрә һәм бик кечкенә булып туа. Зур җирән көнгерәнең озынлыгы (койрыгы белән бергә) 2 м дан артып китә, ә баласының озынлыгы нибары 2 см гына була. Ул, тууга, очлы тырнаклары белән анасы корсагындагы йоннарга ябышып, сумка эченә шуышып керә һәм шунда 7-8 айга кадәр яши. Бу вакытта инде ул буйга анасының яртысы кадәр була. Шуңа күрә кайчагында анасы, дошманыннан качканда, сумкадагы баласын ташлап калдыра. Әмма бу рәхимсезлек түгел. Сумкадан тошен калгач, көнгерә баласы үзе дә качып котыла ала. Югыйсә анасы да, баласы да һәлак булырга мөмкин. Нәни көнгерә бер елга кадәр сумка эчендә әнисенең соөте белән туклана. Әмма әле ул баштагы чорда шулхәтле көчсез һәм зәгыйфь була, хәтта мөстәкыйль рәвештә имә дә алмый. Сөт аңа махсус мускуллар ярдәмендә килә.

Чыганаклар

  • 1,0 1,1 1,2 Integrated Taxonomic Information System — 1996.
  • 2,0 2,1 2,2 таксономическая база данных Национального центра биотехнологической информации США / National Center for Biotechnology Information
  • лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    Википедия авторлары һәм редакторлары
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages

    Көнгерәләр: Brief Summary ( татарски )

    добавил wikipedia emerging languages

    Көнгерәләр (лат. Macropodidae) – сумкалы имезүчеләр гаиләсе. Үлән ашаучы, ике аягы белән бер юлы сикергәләп хәрәкәт итә. Көнгерә гаиләсенә валлаби, валлару һәм (баһадир) кенгуру керә. Капитан Джеймс Кук 1770 елда Австралия ярында I гаҗәеп сәер хайван күрә һәм шунда яшәүче - бер кешедән: «Бу хайванның исеме ничек?» — дип сорый. Теге кеше Кукның телен аңламый һәм: «Кен-гу-ру», — дип җавап бирә. Бу сүз «мин аңламыйм» дигән мәгънәне аңлата. Шул көннән башлап әлеге хайван кенгуру (көнгерә) дип йөртелә башлый.

    Көнгерәнең гәүдә төзелеше бик сәер: көчле арт аяклар, зур көйрык, тар җилкә, кеше кулларына өхшаган алгы тәпиләр, бөтен көрсагын диярлек каплап алган тирән тире катламы, ягъни сумка. Көнгерәнең төрләре бик күп: зур җирән көнгерә, тау көнгерәсе, агач көнгерәсе, алып көнгерә, куаклык көнгерәсе, җирән көнгерә, сөры көнгерә, урман көнгерәсе һ.б. Зур жирән көнгерәнең авырлыгы 90 кг. Алар Австралия далаларында зур-зур көтү булып яшиләр. Зур жирән көнгерә тырнаклы алгы тәпиләре белән үзе туклана төрган тамыр һәм бүлбеләрне бик җиңел казып чыгаpa. Ә арткы аяклары белән сугыша: кинәт кенә үзенең бөтен гәүдә авырлыгын койрыгына күчерә дә, бушап калган ике арткы аягы белән өстән аска таба бер хәрәкәт ясап, дөшманына көтөчкыч җәрәхәтләр ясый. Аның арткы аякларында дүрт кенә бармак булса да, тырнаклары пычак кебек үткен була. Ә инде дөшманыннан качканда, ул, көчле арткы аяклары белән этелеп, өзынлыкка 13 м га, биеклеккә 3 м га кадәр гаять зур сикереш ясап чаба.

    Көнгерәнең баласы сукыр, шәрә һәм бик кечкенә булып туа. Зур җирән көнгерәнең озынлыгы (койрыгы белән бергә) 2 м дан артып китә, ә баласының озынлыгы нибары 2 см гына була. Ул, тууга, очлы тырнаклары белән анасы корсагындагы йоннарга ябышып, сумка эченә шуышып керә һәм шунда 7-8 айга кадәр яши. Бу вакытта инде ул буйга анасының яртысы кадәр була. Шуңа күрә кайчагында анасы, дошманыннан качканда, сумкадагы баласын ташлап калдыра. Әмма бу рәхимсезлек түгел. Сумкадан тошен калгач, көнгерә баласы үзе дә качып котыла ала. Югыйсә анасы да, баласы да һәлак булырга мөмкин. Нәни көнгерә бер елга кадәр сумка эчендә әнисенең соөте белән туклана. Әмма әле ул баштагы чорда шулхәтле көчсез һәм зәгыйфь була, хәтта мөстәкыйль рәвештә имә дә алмый. Сөт аңа махсус мускуллар ярдәмендә килә.

    лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    Википедия авторлары һәм редакторлары
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages

    मैक्रोपोडीडाए ( хинди )

    добавил wikipedia emerging languages

    मैक्रोपोडीडाए (macropodidae) धानीप्राणी (मारसूपियल​) जानवरों का एक बड़ा जीववैज्ञानिक कुल है। यह कभी-कभी कंगारू कुल भी कहलाता है क्योंकि कंगारू की सभी जातियाँ इसी कुल की सदस्य हैं। इनके अलावा वालाबी, वृक्ष-कंगारू, क्वोका, इत्यादि भी इसी कुल के अंतर्गत हैं। मैक्रोपोडीडाए के सदस्य मैक्रोपोड (macropod) कहलाते हैं। यह प्राणी ऑस्ट्रेलिया, नया गिनी और आसपास के द्वीपों पर रहते हैं।[1] ऑस्ट्रेलिया पर यूरोपीय क़ब्ज़े से पहले यहाँ ६५ मैक्रोपोड जातियाँ मिलती थीं लेकिन तब से ६ विलुप्त हो चुकी हैं और ११ की संख्य बहुत घट चुकी है। इस से पहले, मैक्रोपोड की कुछ ऐसी भी जातियाँ थी जो उस महाद्वीप पर ऑस्ट्रेलियाई आदिवासी लोगों के आगमन के बाद विलुप्त हो गई।

    इन्हें भी देखें

    सन्दर्भ

    1. Clode, D (2006). Continent Of Curiosities: A Journey Through Australian Natural History. Melbourne: Cambridge University Press. पपृ॰ 25–8. आई॰ऍस॰बी॰ऍन॰ 978-0-521-86620-0.
    лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    विकिपीडिया के लेखक और संपादक
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages

    मैक्रोपोडीडाए: Brief Summary ( хинди )

    добавил wikipedia emerging languages

    मैक्रोपोडीडाए (macropodidae) धानीप्राणी (मारसूपियल​) जानवरों का एक बड़ा जीववैज्ञानिक कुल है। यह कभी-कभी कंगारू कुल भी कहलाता है क्योंकि कंगारू की सभी जातियाँ इसी कुल की सदस्य हैं। इनके अलावा वालाबी, वृक्ष-कंगारू, क्वोका, इत्यादि भी इसी कुल के अंतर्गत हैं। मैक्रोपोडीडाए के सदस्य मैक्रोपोड (macropod) कहलाते हैं। यह प्राणी ऑस्ट्रेलिया, नया गिनी और आसपास के द्वीपों पर रहते हैं। ऑस्ट्रेलिया पर यूरोपीय क़ब्ज़े से पहले यहाँ ६५ मैक्रोपोड जातियाँ मिलती थीं लेकिन तब से ६ विलुप्त हो चुकी हैं और ११ की संख्य बहुत घट चुकी है। इस से पहले, मैक्रोपोड की कुछ ऐसी भी जातियाँ थी जो उस महाद्वीप पर ऑस्ट्रेलियाई आदिवासी लोगों के आगमन के बाद विलुप्त हो गई।

    лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    विकिपीडिया के लेखक और संपादक
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages

    કાંગારુ ( гуџаратски )

    добавил wikipedia emerging languages

    કાંગારુ (હિંદી:कंगारू ; અંગ્રેજી:Kangaroo) વિશ્વભરમાં ઓસ્ટ્રેલિયા દેશમાં જોવા મળતું એક સસ્તન પ્રાણી છે. આ સુંદર દેખાવ ધરાવતું પ્રાણી ઓસ્ટ્રેલિયા દેશનું રાષ્ટ્રીય પ્રાણી છે.

    માદા કાંગારુના પેટના ભાગમાં કોથળી જેવી રચના હોય છે, જેમાં તેનાં બચ્ચાંને રાખે છે. ઓસ્ટ્રેલિયાના લોકો આ બચ્ચાંને 'જોય' (Joey) તરીકે ઓળખાવે છે, તથા કાંગારુઓનાં ટોળાંને 'મોબ' (mob) તરીકે ઓળખાવે છે.

    лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    વિકિપીડિયા લેખકો અને સંપાદકો
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages

    கங்காரு ( тамилски )

    добавил wikipedia emerging languages

    கங்காரு பாலூட்டிகளில் வயிற்றில் பை உள்ள இனத்தைச் சேர்ந்த ஒரு விலங்கு ஆகும். இவை பொதுவாக ஆஸ்திரேலியா மற்றும் அதன் அருகில் உள்ள தீவுகளில் காணப்படுகின்றன. இவை நான்கு கால்களைக் கொண்டிருப்பினும் தன் பின்னங்கால்களால் தத்திச்செல்கின்றன. சமநிலை பேணுவதற்குத் தனது வாலைப் பயன்படுத்துகின்றன.

    ஒரே தாண்டுதலில் 13 மீட்டர்கள் தூரம் தாண்டும் ஒரே விலங்கினம் கங்காருவாகும். இவ்விலங்கின் மடியில் ஒரு பை காணப்படுகிறது. இப்பையில் இவை தங்கள் குட்டியைக் தாங்கிக் கொண்டிருக்கின்றன. குட்டிகள் பால் அருந்துவதற்கான முலையும் இந்தப்பையினுள்ளே இருக்கின்றது.

    கங்காருகள் அவற்றின் இறைச்சிக்காகவும் தோலுக்காகவும் கங்காருகளின் அதிப்படியான மேய்ச்சலினால் ஏற்படும் புல்வெளிகளின் இழப்பைத் தடுப்பதற்காகவும் சுட்டுக்கொல்லப்படுகின்றன.[2] கங்காரு இறைச்சியி்ல் கொழுப்பின் அளவு குறைவாக உள்ளதால் மனிதர்களுக்கு நல்லதாகக் கருதப்படுகின்றது.[3]

    மேற்கோள்கள்

    1. Colin Groves (16 நவம்பர் 2005). Wilson, D. E., and Reeder, D. M. (eds). ed. Mammal Species of the World (3rd edition ). Johns Hopkins University Press. பக். 64 & 66. ISBN 0-801-88221-4. http://www.bucknell.edu/msw3.
    2. "Kangaroo Industry Background Kangaroo Industries Association of Australia. July 2008". Kangaroo-industry.asn.au (31 July 1997). மூல முகவரியிலிருந்து 5 February 2009 அன்று பரணிடப்பட்டது. பார்த்த நாள் 5 April 2009.
    3. Dow, Steve (26 September 2007). "An industry that's under the gun". Sydney Morning Herald (Fairfax Media). http://www.smh.com.au/news/environment/an-industry-thats-under-the-gun/2007/09/25/1190486311919.html?page=fullpage. பார்த்த நாள்: 2 October 2011.

    மேலும் பார்க்க


    உயிரியல் தொடர்பான இக்கட்டுரை, வளர்ச்சியடையாத குறுங்கட்டுரை ஆகும். இதைத் தொகுப்பதன் மூலம் நீங்கள் இதன் வளர்ச்சியில் பங்களிக்கலாம்.
    лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    விக்கிபீடியா ஆசிரியர்கள் மற்றும் ஆசிரியர்கள்
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages

    கங்காரு: Brief Summary ( тамилски )

    добавил wikipedia emerging languages

    கங்காரு பாலூட்டிகளில் வயிற்றில் பை உள்ள இனத்தைச் சேர்ந்த ஒரு விலங்கு ஆகும். இவை பொதுவாக ஆஸ்திரேலியா மற்றும் அதன் அருகில் உள்ள தீவுகளில் காணப்படுகின்றன. இவை நான்கு கால்களைக் கொண்டிருப்பினும் தன் பின்னங்கால்களால் தத்திச்செல்கின்றன. சமநிலை பேணுவதற்குத் தனது வாலைப் பயன்படுத்துகின்றன.

    ஒரே தாண்டுதலில் 13 மீட்டர்கள் தூரம் தாண்டும் ஒரே விலங்கினம் கங்காருவாகும். இவ்விலங்கின் மடியில் ஒரு பை காணப்படுகிறது. இப்பையில் இவை தங்கள் குட்டியைக் தாங்கிக் கொண்டிருக்கின்றன. குட்டிகள் பால் அருந்துவதற்கான முலையும் இந்தப்பையினுள்ளே இருக்கின்றது.

    கங்காருகள் அவற்றின் இறைச்சிக்காகவும் தோலுக்காகவும் கங்காருகளின் அதிப்படியான மேய்ச்சலினால் ஏற்படும் புல்வெளிகளின் இழப்பைத் தடுப்பதற்காகவும் சுட்டுக்கொல்லப்படுகின்றன. கங்காரு இறைச்சியி்ல் கொழுப்பின் அளவு குறைவாக உள்ளதால் மனிதர்களுக்கு நல்லதாகக் கருதப்படுகின்றது.

    лиценца
    cc-by-sa-3.0
    авторски права
    விக்கிபீடியா ஆசிரியர்கள் மற்றும் ஆசிரியர்கள்
    изворно
    посети извор
    соработничко мреж. место
    wikipedia emerging languages