dcsimg

Hingstantiloopen ( севернофризиски )

добавил wikipedia emerging languages
Amrum.pngTekst üüb Öömrang

Hingstantiloopen (Hippotragus) san en skööl faan hurndiarten uun Afrikoo mä trii slacher. Ään diarfaan as al ütjstürwen.

Slacher

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Hingstantiloopen: Brief Summary ( севернофризиски )

добавил wikipedia emerging languages

Hingstantiloopen (Hippotragus) san en skööl faan hurndiarten uun Afrikoo mä trii slacher. Ään diarfaan as al ütjstürwen.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Wikipedia authors and editors
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Korongo (Bovidae) ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Korongo au kolongo ni spishi ya kawaida zaidi ya jenasi Hippotragus katika familia Bovidae. Spishi nyingine inaitwa palahala au mbarapi. Hawa ni wanyama wakubwa ambao wanatokea savana za Afrika zenye miti. Rangi ya madume ni kahawia hadi nyeusi, rangi ya majike ni kahawia. Kuna mabaka meusi na meupe kichwani, lakini hayaonekani sana kwa korongo buluu; tumbo ni jeupe. Dume na jike wana pembe ndefu zilizopindika kuelekea nyuma ambazo urefu wao unaweza kufika mita moja au zaidi lakini fupi zaidi kwa jike. Wanyama hawa hula manyasi marefu kiasi.

Spishi

Picha

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Korongo (Bovidae) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages

Korongo (Bovidae): Brief Summary ( свахили )

добавил wikipedia emerging languages

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Korongo au kolongo ni spishi ya kawaida zaidi ya jenasi Hippotragus katika familia Bovidae. Spishi nyingine inaitwa palahala au mbarapi. Hawa ni wanyama wakubwa ambao wanatokea savana za Afrika zenye miti. Rangi ya madume ni kahawia hadi nyeusi, rangi ya majike ni kahawia. Kuna mabaka meusi na meupe kichwani, lakini hayaonekani sana kwa korongo buluu; tumbo ni jeupe. Dume na jike wana pembe ndefu zilizopindika kuelekea nyuma ambazo urefu wao unaweza kufika mita moja au zaidi lakini fupi zaidi kwa jike. Wanyama hawa hula manyasi marefu kiasi.

лиценца
cc-by-sa-3.0
авторски права
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
изворно
посети извор
соработничко мреж. место
wikipedia emerging languages